JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wananchi waipongeza TANROADS Morogoro kurejesha miundombinu ya barabara Malinyi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Morogoro Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendelea na kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea…

Edward Mpogolo kukabidhi vifaa kupimia urefu watoto na bajaji hospitali za Ilala

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea na jitihada za kuhakikisha inajenga vituo vingi vya afya na kuboresha miundombinu ikiwemo vifaa tiba na usafiri ili kusaidia kila mtu anapohitaji huduma kat za afya anahudumiwa vizuri na watoa…

DART mbioni kuanza mfumo wa kadi janja kuachana na matumizi ya karatasi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediia Dar es Salaam WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) leo wamefunga mafunzo kutoka kwa wataalamu wa idara ya Tehama ambayo yamejikita katika kadi janja zitakatumika katika mfumo wa nauli kabla ya abiria kuiingia kwenye geti anatumia kadi…

Nishati safi ya kupikia imebeba ajenda kubwa ya mazingira – Kapinga

📌 Ampongeza Rais Samia kinara nishati safi 📌 Awataka wananchi wa Msomera kubeba ajenda ya nishati safi 📌 Matumizi ya kuni sasa basi Msomera 📌 Serikali yagawa majiko banifu na gesi, yagharimu zaidi ya milioni 200 Na Mwandishi Wetu, Msomera…

Asilimia 4 Kati ya 67 ya watoto wanaotumia mitandao ya kijamii wamekumbana na uonevu, ukatili

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Kutokana na mapinduzi ya teknolojia ya habari na mawasiliano, Serikali imesema asilimia 67 ya watoto walio umri wa miaka 12 hadi 17 wanatumia mitandao ya kijamii ambapo, kati yao ssilimia 4 wamefanyiwa vitendo vya ukatili na uonevu…

Asilimia 16 waliopimwa wana shinikizo la damu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, IKIWA leo ni Siku ya Shinikizo la Juu la Damu Duniani asilimia 16 ya watu waliofanya uchunguzi katika kambi ya uchunguzi ya siku mbili wamegundulika kuwa na tatizo hilo. Kambi ya uchunguzi iliyoanza Mei 16 na…