JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Ruto kuanza ziara ya kihistoria nchini Marekani

Rais William Ruto wa Kenya anaanza ziara ya kihistoria nchini Marekani, ambayo inatarajiwa kuwa mapinduzi kwa Kenya yenye kulenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbilo. Ziara hiyo ambayo ni ya kwanza kwa kipindi cha miaka 15, ilifanyika na rais…

Macron aitisha mkutano mwingine kuhusu New Caledonia

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameitisha mkutano mwingine wa dharura wa baraza lake la ulinzi na usalama kwa ajili ya kujadili ghasia zinazoendelea katika kisiwa cha New Caledonia ambacho ni himaya yake. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameitisha mkutano mwingine…

Saruji nyeupe kuitangaza Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Serikali imezitaka halmashauri nchini kuendelea kuboresha miundombinu sanjari na kutenga maeneo rafiki kwa uwekezaji na wawekezaji ili kuifikia azma ya serikali kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe…

Mafuriko mapya yasababisha vifo vya watu 66 Afghanistan

Mafuriko mengine mapya yamewaua watu 66 katika Mkoa wa Faryab kaskazini mwa Afghanistan. Mamia ya watu wamekufa katika mafuriko tofauti mwezi huu ambayo pia yamesomba mashamba . Mafuriko mengine mapya yamewaua watu 66 katika mkoa wa Faryab kaskazini mwa Afghanistan….

Mukhbar kuiongoza Iran kwa siku 50

Na Isri mohamed SAA chache baada ya kutangazwa kwa kifo cha Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, aliyekuwa makamu wa Rais wake Muhammad Mukhbar anajiandaa kuiongoza nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha siku 50. Kwa sasa Mukhbar anasubiri tu kuthibitishwa…

Gumzo la nani atachukua nafasi yake Rais Iran

Rais Ebrahim Raisi alikuwa karibu kufikia nafasi ya juu ya madaraka katika Jamhuri ya Kiislamu na alipendekezwa sana kupanda hadi nafasi hiyo. Kufariki ghafla kwa Rais Ebrahim Raisi katika ajali ya helikopta siku ya Jumapili kumezua gumzo la nani hatimaye…