JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Serikali imedhamiria kuendelea kutekeleza agenda ya uchumi wa viwanda – Dk Biteko

📌Tanzania na Uganda kuendelea kushirikiana kukuza biashara na diplomasia 📌 Serikali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta na gesi kwa bei nafuu na kuongeza ushiriki wa wananchi katika uchumi wa viwanda 📌Serikali za Tanzania na Uganda zaingia makubaliano kuimarisha sekta ya nishati…

Vipaji vya wanafunzi wa awali Tusiime vyawashangaza wazazi

Na Mwandishi Wetu WAZAZI walioshiriki siku ya taaluma na maonyesho ya shule ya awali Tusiime leo wameshangazwa na vipaji vilivyoonyeshwa na wanafunzi hao kwa kumudu kutengeneza vitu mbalimbali na kumudu kuzungumza kingereza fasaha muda wote. Maonyesho hayo yaliyofanyika leo kwenye…

JKT lawaita vijana kujiunga na Mafunzo kwa mujibu wa sheria

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma JESHI la kujenga Taifa (JKT )limetoa wito kwa Vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha sita kwa Mwaka 2024 kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria ili kujengewa uzalendo ,…

Watatu mbaroni kwa kumteka mtoto na kutaka wapewe milioni 20

Na Abel Paul , Jeshi la Polisi- Kilimanjaro Jeshi la Polisi limesema limefanikiwa kumpata mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 5 mwanafunzi wa shule ya awali Isaiah Samartan iliyopo jijini Mbeya aliyeripotiwa kupotea Mei 15,2024 muda wa saa 11:45…

Zanzibar kuanzisha mfuko wa maendeleo ya soka ili kuendeleza michezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar, SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeeleza dhamira yake ya kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya soka Zanzibar ili kuendeleza sekta ya michezo nchini. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali…

Motsepe akiri goli la Yanga Vs Mamelod ni halali

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa shirikisho la soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe amekiri kama angekuwa upande wa shabiki angeona goli la Yanga lililokataliwa na mwamuzi katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Mamelod Sundowns Afrika Kusini kuwa lilikuwa…