JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wanafunzi 188, 787 wachaguliwa kidato cha tano na vyuo vikuu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanafunzi 188,787 waliokidhi vigezo wakiwemo wanafunzi wenye mahitaji maalum 812 wamechaguliwa na kupangiwa kujiunga na kidato cha Tano na vyuo vya kati nchini kwa mwaka 2024. Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali,…

Migodi ya Madini 21,686 yakaguliwa katika kipindi cha Julai, 2023 hadi Aprili 2024.

Kati ya migodi hiyo, migodi mikubwa ni nane, migodi ya kati 56 na migodi midogo 21,622. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Msafiri Mbibo akimwakilisha Waziri wa Madini, Anthony Mavunde katika…

Wabunge wataka bajeti ya ujenzi ipite, walilia iongezwe fedha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wabunge wamepongeza kazi zinazofanyika katika Wizara ya Ujenzi huku wakitaka Kamati ya Bajeti kufanya mapitio upya ya bajeti ili kuongeza fedha kwa wizara hiyo. Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa jana aliwasilisha bajeti ya Wizara hiyo…

Naibu Waziri Pinda ataka utunzaji hati miliki za ardhi kuepuka udanganyifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlele Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amewataka wananchi wanaokabidhiwa hati Milki za ardhi kuhakikisha wanazitunza ili kuepuka udanganyifu unaoweza kufanyika kutoka watu wasio waaminifu. Pinda ametoa kauli hiyo Mei 29,…

Ukarabati wa Mv Magogoni kukamilika Desemba 2024

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ukarabati wa Kivuko cha Mv. Magogoni unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Desemba, 2024 na kurejeshwa nchini ili kuanza kutoa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya Bungeni jijini Dodoma…

Barabara za Kivule, Mpiji Magoe, Bonyokwa zatengewa fungu

 Wizara ya Ujenzi katika mwaka wa fedha 2024/25, imetenga kiasi cha Sh bilioni 9.7 kwa ajili ya mradi wa kupunguza msongamano barabara za Dar es Salaam. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024/25…