JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Pinda awafariji ndugu wa waliopoteza maisha kwa ajali ya mtumbwi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlel Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi Mhe. Geophrey Pinda amewatembelea na kuwafariji wananchi wa kijiji cha Ukingwamizi katika kitongoji…

Gavana Bwanku atembelea kujionea uwekezaji mkubwa bilioni 20 wa Rais Samia kwenye bandari ya Kemondo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Washuhudia Wataalamu wakubwa, mitambo mikubwa na wafanyakazi wakiwa site. Bandari ya Kemondo kufungua uchumi mzima wa mkoa. Bandari ya Kemondo iliyopo kwenye Tarafa ya Katerero wilayani Bukoba- Kagera ni moja ya Bandari kubwa 10 Tanzania…

Ostadh adaiwa kulawiti watoto 15, Mafia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Mafia Mkuu wa Wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, Aziza Mangosongo , amethibitisha kukamatwa kwa Ostadh wa madrasa anaedaiwa kulawiti watoto zaidi ya kumi ambapo pia zipo kesi nyingine zinaendelea kuchunguzwa. Aidha amesema, licha ya serikali kupambana kupiga…

Dk Biteko azindua kituo cha kupoza umeme Ifakara

📌 Kuimarisha upatikanaji umeme Kilombero, Ulanga na Malinyi 📌 Kuchochea viwanda vya uongezaji thamani Mazao, Madini 📌 Asema Serikali inachukulia kwa uzito mkubwa suala la upatikanaji wa Nishati 📌 Asisitiza Umeme si anasa, ni jambo la lazima 📌 Aishukuru EU…

Mtuhumiwa wa Dawa za kulevya na Mauaji Arusha mbaroni

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema mei 29, 2024 muda wa saa 08:22 mchana huko katika maeneo ya Elerai Jijini Arusha walifanikiwa kumkamata Peter Mwacha (18) dereva bajaji na mkazi wa Sombetini Jijini…