JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

DAWASA yafunga mita 150 za malipo ya kabla Dar na Pwani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la ufungaji wa mita za malipo ya kabla (prepaid meters) kwenye maeneo mbalimbali hadi kufikia Mei 31,2024 jumla ya…

Dk Mwigulu, Waziri Aweso na mbunge Cherehani washuhudia utiaji saini mradi wa maji ziwa Victoria wa bil.44 Ushetu

Na Mathias Canal, Ushetu, JamhuriMedia, Kahama Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba, Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso na Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani wameshuhudia utiaji saini mradi mkubwa wa Bilioni 44 wa maji ya ziwa…

TIC yatangaza fursa za uwekezaji maonyesho ya Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Tanga KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC), kimesema kampeni ya nchi nzima ya kuhamasisha uwekezaji imeamsha ari ya watanzania wengi kuchangamkia fursa za uwekezaji kwenye sekta mbalimbali. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Afisa Uwekezaji wa kituo hicho,…

Majaliwa : Serikali yenu ipo imara

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Swrikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ipo imara na inaemdelea kutekeleza miradi ya kimkakati Amesema utekeleza wa miradi hiyo utawawezesha wananchi kutekeleza majukumu yao kikamilifu na kushiriki katika shughuli…

Geita yatakiwa kuja na mradi wa Kaboni kuokoa mazingira

Mkoa wa Geita umetakiwa kuanzisha mradi wa kaboni ili kujipatia kipato na kukabiliana na kasi ya uharibifu wa mazingira inayotokana na shughuli za ukataji wa miti hovyo. Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhandisi Cyprian Luhemeja…