JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

CCM yatoa pole kifo cha kada CHADEMA

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa pole kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutokana na msiba wa mjumbe wa sekretarieti ya chama hicho, Ally Kibao na kuliomba Jeshi la Polisi kuhakikisha wahusika wanatiwa nguvuni. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM…

Ushiriki makundi mbalimbali katika kutoa maoni una mchango mkubwa kufanikisha maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Ushiriki wa makundi mbalimbali ya kijamii hususan vijana katika kutoa maoni kwenye michakato ya Kidemokrasia nchini, umetajwa kuwa moja ya mambo yatakayojadiliwa kwa kina na kufikiwa maazimio ya kuhakikisha makundi hayo yanashiriki kikamilifu katika michakato…

Polisi waongeza nguvu tukio la mauaji ya Kibao

Jana Septemba 7,2024 Jeshi la Polisi lilitoa taarifa juu ya Ally Mohamed Kibao kushushwa kutoka kwenye basi la Tashrif na kuchukuliwa na watu ambao hawakuweza kutambuliwa na kwamba uchunguzi ulianza baada ya kupokelewa taarifa hiyo. Baada ya kutolewa taarifa za…

Vijana kujadili Tanzania waitakayo wiki ya AZAKI

Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media, Arusha Wiki ya Asasi za Kiraia (AZAKI) inatarajiwa kuanza kesho jijini Arusha ambapo vijana wanapata fursa ya kujadili umuhimu wa kushiriki katika mchakato wa kidemokrasia. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Arusha, Mkurugenzi Mtendaji…

REA yaendelea kutekeleza dhamira ya Rais Samia kwa vitendo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeanza kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha kila Mwananchi anatumia Nishati Safi ya Kupikia. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala…

TMA yawakubusha wahandisi kuzingatia huduma za hali ya hewa katika utekelezaji wa miradi

Wahandisi nchini wamekumbushwa umuhimu wa huduma za hali ya hewa sambamba na kuchangia gharama za upatikanaji wa huduma hiyo katika utekelezaji wa miradi yao. Hayo yalizungumzwa na Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt….