JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Madakari bingwa mama Samia 45 wapiga kambi Pwani kutoa huduma kwa wananchi

Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia,Pwani MADAKTARI Bingwa wa mama Samia 45 wamepiga kambi Mkoani Pwani ,kwa siku tano ili kutoa huduma za afya za kibobezi kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo ya njia ya uzazi na watoto. Aidha watatoa huduma kwa wagonjwa ya…

Wabunge waipa tano Serikali kwa kutangaza utalii na kuongeza idadi ya wageni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma¹ Baadhi ya wabunge wamepongeza juhudi za Serikali katika kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini hasa kupitia filamu ya Tanznaia the Royal Tour na amaizing Tanzania iliyozinduliwa hivi karibuni nchini China. Akichangia mjadala wa bajeti ya…

Majaliwa awataka wakazi Geita kuchangamkia fursa za uvuvi

Na Daniel Limbe, JamhuriMwsia,Chato WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa, amewataka wakazi wa mkoa wa Geita kujikita kwenye sekta ya uvuvi ili kuongeza ajira na kuinua vipato vyao. Aidha amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejikita kusogeza…

Wanaume B/MULO hatarini matumizi ya viagra

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia,Biharamulo MATUMIZI mabaya ya dawa za kutibu ugonjwa wa shinikizo la damu(Viagra) unatishia ongezeko la vifo vya wanaume wilayani Biharamulo mkoani Kagera kutokana na baadhi ya watu kuzitumia holela kwa imani za kuongeza nguvu za kuhimili tendo…