JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mwenyekiti Serikali za Mtaa Kivule aishauri Serikali kuweka mikakati ya ujenzi wa miundombinu Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa Kivule, Amos Habgaya ameshauri Serikali uweke mkakati maalum kwa ajili ya kujenga miundombinu ya Jiji la Dar es Salaam kwani bila kufanya hivyo changamoto za barabara kumalizika itakuwa…

Mwenge wa uhuru kuzindua miradi 10 ya maendelao yenye thamani bil. 2.5/- Namtumbo

Na Cresensia Kapinga, JakhuriMedia, Namtumbo. Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Ngolo Malenya amesema kuwa Mwenge wa Uhuru unaokimbizwa katika Wilaya hiyo utakagua,utaweka mawe ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo 10 yenye thamani ya sh. Bilioni 2.5 Akizungumza wakati…

Teknolojia ya vizimba vya mamba yarejesha hali ya maisha ya kawaida Sengerema

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Sengerema Hali ya usalama wa maisha ya kila siku kwa wananchi waishio pembezoni mwa ziwa Viktoria wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza yarejea baada ya Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kujenga vizimba vya kudhibiti mamba….

Tanzania ina umeme wa kutosha kufanya shughuli za kiuchumi – Dk Biteko

📌 Asisitiza hakuna mgawo wa umeme 📌 Amshukuru Rais Samia kuiimarisha Sekta ya Nishati Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, kwa sasa nchi ina umeme wa kutosha kuwawezesha…

Mambo 10 makubwa aliyofanya Zuhura Yunus akiwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwezi Februari 2022, Zuhura Yunus alianza kazi rasmi kama Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo. Zuhura alipata uteuzi…

Biteko asisitiza nia yake ya kuchochea maendeleo Bukombe, asisitiza umuhimu wa elimu

📌 Dkt. Biteko awataka wazazi kupeleka watoto shule 📌 Daraja la mpakani kati ya Bugelenga na Mbogo kuanza kujengwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Mhe. Dkt. Doto Biteko…