JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Mkuu atoa maelekezo uendeshaji mradi wa SGR

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi iendelee kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kuhakikisha huduma za treni ya SGR zinaboreshwa na miundombinu inaimarishwa ili mradi huo uweze kudumu kwa muda mrefu. Amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025,…

Mradi mkubwa wa maji ziwa Victoria kuinusuru Biharamulo

Na Daniel Limbe,JamhuriMedia, Biharamulo Katika kukabiliana na adha kubwa ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,serikali imetenga zaidi ya bilioni 77 kwaajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa usambazaji maji kutoka ziwa Viktoria….

Rais Samia ampandisha cheo afisa wa Polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akimvisha cheo cha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Dora Kiteleki, leo Septemba 6,2024.  IGP Wambura amemvisha cheo hicho baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Shindano la kriket kufuzu Kombe la Dunia kufanyika Septemba 20

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia,Dar es Salaam Michuano ya kimataifa ya mchezo wa kricket katika kampeni ya kufuzu kombe la dunia kwa upande wa mchezo wa kricket yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi nchini kuanzia Septemba 20, mwaka huu. Mashindano hayo yatafanyika nchini…

Si sahihi kufanya ukaguzi katika kaya kubaini wanaotumia kuni au mkaa

Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema si sahihi na hakuna utaratibu wa kufanya ukaguzi katika kila kaya ili kubaini kama zinazotumia kuni au mkaa na badala yake kinachotakiwa ni kufuatilia na kuhakikisha misitu haikatwi ovyo. Hayo yamesemwa na Waziri…