JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mafanikio miradi ya kusafirisha umeme yatajwa kutoka bajeti Kuu ya Serikali

Akisoma Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Bungeni-Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa Kilovoti 400 na kituo kipya…

Bilioni 136.2 zimetumika urejeshaji wa miundombinu barabara na madaraja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 136.2 kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakala ya Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), kwa ajili ya kurejesha hali ya awali ya miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibiwa…

Mwenyekiti wa UVCCM Shinyanga atumbuliwa

Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Shinyanya chini ya mwenyekiti wake Mabala Mlolwa kimemvua madaraka mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana UVCCM Wilaya ya Shinyanga mjini Jonathan Agustino Madete kwa kosa la utovu wa nidhamu. Akizungumza…

Rais Samia atoa milioni 900/- upasuaji wa moyo watoto JKCI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 900 kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye matatizo ya moyo wasiokuwa na uwezo wa kugharamia matibabu. Fedha hizo zimelenga kuwagharamia…

Waandishi wa habari washauriwa kuelimisha wananchi umuhimu wa Daftari la Mpigakura

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia kalamu zao kuhabarisha na kuelimisha wananchi kuendelea kuzingatia sheria za uchaguzi, kanuni za uboreshaji na maelekezo ya Tume kuhusu zoezi la uboreshaji wa daftari la mpiga kura….

Serikali yawataka wananchi kufunga kifaa cha kuzuia athari za umeme majumbani

📌 Lengo ni kujilinda na athari za umeme 📌 Kapinga ataja juhudi zinazofanywa na Serikali kuimarisha hali ya umeme Jimbo la Segerea 📌 Asema usambazaji umeme vijijini unaendelea, vitongoji 4000 kupatiwa umeme 2024/2025 na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu waziri…