JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Kailima awataka wanasiasa kuacha kuwadanganya wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari wameshauriwa kuandika ukweli kuhusiana na suala la vyama vya siasa kuitaka INEC isimamie uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa hoja kuwa sheria ya Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi…

Watatu wahukumiwa kwa kupokea rushwa ya sh 130,000

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imewahukumu Afisa Mtendaji wa Kata ya Iwindi na wenzake wawili kulipa faini ya Shilingi 500,000 kila mmoja au kwenda jela miaka mitatu kwa kosa la kupokea rushwa kiasi cha sh….

Kaimu Afisa Mtendaji kata ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu kwa kuomba na kupokea rushwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bunda Juni 11 , 2024 katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda imeamuliwa kesi ya Jinai Na.01/2023 mbele ya Mulokozi Kamuntu, Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwandamizi wa mahakama hiyo. Katika shauri hilo lililoendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU…

Serikali imepanga kutumia Bajeti ya Mwaka 2024/2025 trilion 49.35/-

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kwa mwaka 2024/2025 imepanga kutumia jumla ya shilingi trilioni 49.35 kiasi hicho kinajumuisha: shilingi trilioni 15.74 kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine . Ameyasema Juni 13, 2024…

Mchungaji Mastai : Vijana kuweni waangalifu na mitandao ya kijamii

Na Magrethy Katengu,Jaa8huriMedia Dar es Salaam NAIBU Katibu Mkuu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Mchungaji Wilbroad Mastai, amewashauri vijana kuwa waangalifu na mitandao ya kijamii kwa kuwa uharibifu mkubwa wa kidunia umeelekezwa huko…

Bajeti ya 2024 yagusa Watumishi Umma, Wastaafu

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, imesikia kilio watumishi wa umma na wastaafu kuhusu kikokotoo na imekifanyia kazi kwa maslahi…