JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

RC Kunenge amemuapisha Magoti kuwa DC Kisarawe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaji Abubakari Kunenge amemuapisha Petro Magoti (Juni 14) kuwa mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe na kumuagiza kuhakikisha anaweka kipaumbele katika suala zima la ulinzi na usalama katika wilaya hiyo….

Chumba maalum cha ufuatiliaji maafa cha kwanza Bara la Afrika chazinduliwa Tanzania

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)imezinduzi Chumba maalum cha Ufuatiliaji wa Mwenendo wa Majanga na Tahadhari ya Mapema (Situation Room for Mult-Hazard Monitoring and Early Warning) katika Kituo cha Taifa cha Operesheni…

Dk Mpanngo aipongeza Wizara ya Maji kutekeleza mradi wa maji Same Mwanga – Korogwe

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewapongeza viongozi wa Wizara ya Maji kwa kusimamia na kufanikisha vema utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Same -Mwanga – Korogwe….

Shia wafurahishwa na Serikali kutoa nafasi kutoa maoni kanuni za uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dodom Jumuiya ya Shia Inthna’ashariyyah Tanzania (T.I.C) imeipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa hatua yake ya kuwapa nafasi viongozi wa Dini na Watanzania kwa ujumla kutoa maoni yao kwenye…

Rais Samia aipa TANROADS bil. 431.4/- kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu Kagera

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Kagera Wakala wa Barabara “TANROADS” Mkoani Kagera inasimamia mtandao wa barabara wenye jumla ya kilomita 1,966.29. Kati ya hizo barabara kuu ni Kilomita 861.59, barabara za mkoa ni kilomita 1,053.75 na barabara za wilaya ni kilomita…

Wenye tabia ya kuuza bidhaa au kutoa huduma kwa fedha za kigeni mwisho Julai 1

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Serikali imewaelekeza wadau wote ndani ya nchi ikiwemo taasisi za umma, wafanyabiashara, asasi za kiraia, mashirika ya kimataifa wenye tabia ya kuweka bei kwenye bidhaa au huduma kuuza kwa fedha za kigeni kuacha mara…