JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Polisi Kinondoni waadhimisha miaka 60 ya Polisi Tanzania

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Wilaya ya Kinondoni limeadhimisha sherehe za miaka 60 ya Kesshi la polisi Tanzania. Sherehe hizo zimeadhimishwa Septemba 9,2024 katika fukwe maarufu za Coco abeach, Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeadhimishwa…

Mbio za Al Irshaad zafana Dar

Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Shule ya kimataifa ya Al IRSHAAD kwa kushirikiana na wadau nchini wamefanikiwa kuwezesha mbio ambazo zimelenga kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalumu. Mbio hizo zijulikanazo kama Al Irshaad Marathon zimefanyika asubuhi ya jana Septemba 8…

Serikali kutumia ndege kuzuia uvuvi haramu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) zinakabiliwa na changamoto kadhaa zikiwemo ongezeko a plastiki baharini na uvuvi haramu ambapo…

Tanzania bado inakabiliwa na uharibfu wa mazingira : Dk Mpango

SEHEMU ya washiriki wakisikiliza Hotuba ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango (hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano Maalum wa Viongozi, Wataalamu na Wadau wa Mazingira kuhusu Mwelekeo wa Mazingira Nchini unaofanyika jijini Dodoma….

Mazishi ya Ali Mohamed Kibao jijini Tanga

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akishiriki mazishi ya Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Marehemu Ali Mohamed Kibao aliyetekwa na kukutwa ameuawa siku chache zilizopita ambapo amzishi yake yamefanyika leo jijini Tanga.Picha na Wizara ya Mambo…