JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

RC Chalamila atangaza kampeni ya upimaji afya bila malipo

-Asema kampeni hiyo ni ya siku 10 itaanza Juni 20-30,2024 -Abainisha kampeni hiyo inatarajia kuwafikia wananchi zaidi ya elfu kumi -Atoa rai kwa wakazi wa DSM kujitokeza kwa wingi kupima afya zao Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu…

Bashungwa CUP 2024 kuanza kurindima mwezi Julai

Na Mathias Canal, Karagwe-Kagera Mashindano ya mpira wa miguu yaliyopewa jina la “BASHUNGWA CUP 2024” yataanza kurindima mwanzoni mwa mwezi Julai 2024 katika Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera. Mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika kwa miezi miwili yatazinduliwa Kata ya Iguruwa yakihusisha…

Dk Biteko azindua taarifa za utendaji sekta ya nishati

📌 Sekta ya Nishati yazidi kuimarika 📌 Uwekezaji kwenye Gesi Asilia, Mafuta na Umeme waongezeka 📌 Ataka changamoto zilizoainishwa zipatiwe majibu ndani ya miezi mitatu 📌 Aitaka EWURA kupima uhusiano wa Rasimali na mabadiliko ya Maisha ya watu 📌 Aagiza…

Swissport kutoa gawio la bilioni 1.8/ -kwa wanahisa wake

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Swissport inatarajia kutoa gawio la Sh. Bilioni 1.8 kwa wanachama wake baada ya kupata faida ya Sh. Bilioni 3.6 kwa mwaka 2023. Hayo yamebainishwa leo Juni 14, 2024 jijini Dar es…

TCRA : Idadi ya watumiaji simu janja imeongezeka

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Huduma za Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa kufikia machi 2024 Idadi ya watu ya watumiaji simu janja imeongezeka kufikia asilimia 32.59 kutoka asilimia 32.13…

TLS : Wananchi bado wanahitaji katiba mpya

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimesema kuwa wananchi bado wanahitaji Katiba Mpya ambayo ni mustakabari wa Nchi. Kutokana na hilo, TLS imeendelea kutimiza wajibu wake kwa umma kwa mujibu wa sheria ambapo imeendesha…