JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Netanyahu alivunja Baraza lake la Vita

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelivunja Baraza lake la Vita ambalo husimamia operesheni za kijeshi huko Gaza. Mapigano yanaendelea pia kuripotiwa katika ardhi ya Palestina huku idadi ya vifo pia ikiongezeka. Taarifa ya kuvunjwa kwa baraza hilo la vita…

Mathias Canal aunga mkono juhudi za mbunge Bashungwa, achangia mil.1/- kuboresha sekta ya elimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Kufuatia juhudi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe Innocent Bashungwa katika kuimarisha sekta ya elimu ikiwemo ujenzi wa shule mpya ya msingi ya Kigasha, mwandishi wa habari Mathias Canal amechangia Shilingi Milioni 1…

Akiba benki yatoa elimu ya fedha kwa wadau mbalimbali

Na Magrethy Katengu, Jamuhuri Media Dar es Salaam Benki ya Akiba imesema itaendelea kuunga mkono serikali kwa kutoa elimu ya fedha huku ikiboresha huduma zake nchi nzima ili kusaidia kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuchochea kukua kwa uchumi wa Taifa….

Majaliwa: Watanzania tuendelee kudumisha amani, upendo na mshikamano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa  Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoashiria vurugu, uonevu na uvunjifu wa amani. Pia amewasihi waimarishe malezi kuanzia ngazi ya familia ili kuepuka athari za mmomonyoko…

Dk Mpango amuwakilisha Rais Samia mazishi ya Makamu wa Rais Malawi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Kitaifa ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Malawi Hayati Dkt….

Waziri Mkuu mgeni rasmi swala ya Eid na Baraza la Eid kitaifa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2024 ameswali swala ya Idd El-Adh’haa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI BAKWATA, Kinondoni Dar es Salaam. Pia Mheshimiwa Majaliwa amekuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya Baraza la Kitaifa lililofanyika katika msikiti huo…