JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

CTI yasema bajeti itasisimua ukuaji wa viwanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini (CTI), limepongeza bajeti kuu ya serikali kwa kuweka mambo muhimu ambayo yatachochea ukuaji wa viwanda nchini. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa shirikisho hilo,…

Justin Nyari ampongeza RC Sendiga kutembelea kituo cha watoto yatima Mirerani

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mwenyekiti wa chama cha wachimbaji madini Mkoa wa Manyara, (Marema) Justin Nyari amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga kwa kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kutembelea kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu…

Rais Samia : Vyombo vya habari si mshindani wa Serikali

Rais Samia amevitaka vyombo vya habari kuhamasisha kupokea ujuzi mpya, taarifa zamaendeleo ya kiteknolojia katika sekta za uzalishaji na maendeleo ya jamii, vifichue maovu na kutowajibika kunakofanywa naWatumishi na Watendaji wa Serikali, vinatoa mrejesho wa hisia na mtazamo wa wananchi…

Spika Tulia aagiza Mpina apelekwe Kamati ya Maadili

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu. Akitangaza uamuzi…

Wahariri waguswa mradi wa bomba la mafuta

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar e Salaam WAHARIRI wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini wameshangazwa na kuvutiwa na faida lukuki ambazo jamii na wananchi wa mikoa minane ambao wamepitiwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)…