JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Dk Biteko amfariji Angelah Kairuki

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Septemba 10, 2024, amesaini Kitabu cha Maombolezo kwenye msiba wa Mzee Peter Orgones Mkwizu, Baba wa Mhe. Angelah Kairuki, Mbunge wa Viti Maalum na Mshauri wa Rais. Dkt….

Dk Biteko :Rais Samia ameelekeza rasilimali zinazochimbwa nchini ziwanufaishe Watanzania

📌 Asisitiza Ushuru wa Huduma Kutatua Changamoto za Wananchi 📌 Uchimbaji wa Gesi Asili Kuchochea Uchumi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Watanzania…

Utafiti waonyesha ushiriki wa vijana kwenye masuala ya demokrasia ni hafifu

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Haki Elimu nchini umebaini kuwa asilimia 44.4 ya vijana katika shule za sekondari hawana uelewewa wa mambo gani yanayounda demokrasia huku asilimia 3.8 hawajui chochote kuhusu demokrasia. Utafiti huo ulilenga…

Mzee Mwinyi alijiuzulu akamsaidia Nyerere, Masauni msaidie Rais Samia

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita nchi yetu ilipata mshituko. Si mshituko mdogo, bali wenye kishindo. Katika kipindi ambacho Rais Samia Suluhu Hassan anaponya vidonda vikubwa vilivyotokana na utawala wa Awamu ya Tano, ambapo Tanzania iliingia katika…

DCEA yakamata watu watano Dar wakiwa na Kilogramu 1,815 za Skanka

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewakamata watu watano wakiwa na kilogramu 1,815 za dawa za kulevya aina ya Skanka. Watu hao wamekamatwa maeneo ya Luguruni Mbezi na Magomeni…

Mshtakiwa akwamisha kesi kwa madai kuwa mgonjwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi ya tuhuma ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi baada ya kudaiwa mahakamani hapo kuwa mke wa mshtakiwa Bharat Nathwan (57),…