JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Adhabu mbadala kupunguza msongamano gerezanI

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Manyara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema Serikali imefanikiwa kupunguza msongamano katika Magereza mbalimbali nchini mara baada ya kuanza kutekeleza adhabu mbadala kwa wafungwa wanaotumikia adhabu za nje ya Magereza ambapo takriban wafungwa 2000…

Balozi Kasike akutana na Mhandisi Matindi, Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL

Leo tarehe 20 Juni 2024, Phaustine Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Mhandisi Ladislaus Matindi kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Shirika hilo (ATC House) zilizopo…

Bodi ya TANESCO yafurahishwa na kupongeza maendeleo ya mradi wa Julius Nyerere

Na Charles Kombe, JamhuriMedia, Rufiji Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imefurahishwa na kupongeza wasimamizi wa mradi juu ya hatua za ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP). Hayo yamebainishwa na Makamu…

INEC yawataka watendaji wa uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura kutunza vifaa

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Kigoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetaka watendaji wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoani Kigoma kuhakikisha wanatunza vifaa vya uandikishaji ili vikaweze kutumika maeneo mengine nchini. Hayo yamesemwa na…

Wazazi watakiwa kusimamia malezi bora kwa vijana kundi rika na watoto

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Sal Wazazi , viongozi wa dini na wale wa kimila pamoja na wadau mbalimbali nchini wametakiwa ,kusimamia malezi ya vijana na watoto wa wa kike na kiume ili waweze kuwa na maadili bora ….

Timu ya taifa ya kuogelea safarini Kenya 

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waogeleaji wanne wa timu ya taifa ya kuogelea wanatarajiwa kuondoka Juni 21 mwaka huu kwenda Nairobi, Kenya kushiriki mashindano yatakayofanza Juni 22 na 23, mwaka huu nchini humo.  Akizungumza na waogeleaji hao wakati akiwakabidhi…