JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Milioni 250 zaidhinishwa ujenzi wa daraja la Kiloka wilayani Morogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali imeshaidhininisha kiasi cha shilingi Milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Kiloka linaounganisha kijiji cha Kiloka na vijiji jirani ambalo lilisombwa na maji ya mvua zilizonyesha mwanzoni mwa mwaka huu nchini. Hayo…

Viongozi Serikali ya Nigeria watembelea JKCI

Na Mwandishi Maalumu – JKCI Viongozi wa Serikali ya Nigeria wametembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa pamoja na kuangalia uwekezaji uliofanywa na Serikali katika matibabu ya kibingwa ya moyo nchini….

TUCTA yaipongeza Serikali kuongeza kiwango cha kikokotoo

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeipongeza Serikali kwa kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo ya Pensheni kwa Wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa mpaka 40 kwa wafanyakazi waliokuwa wanapokea asilimia 50 kabla ya mifuko kuunganishwa na asilimia 35…

Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji mazishi ya Tixon Nzunda Songwe

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo ameongoza maelfu ya waombolezaji wakiwemo viongozi na wananchi kutoka maeneo mnalimbali nchini, walioshiriki mazishi ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, marehemu Tixon Nzunda, yaliyofanyika huko…