JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Bandari ya Dar es Salaam yaanza kupokea meli kubwa za mizigo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Bandari ya Dar es Salaam imeweka rekodi kwa kupokea meli kubwa ya mizigo yenye urefu wa mita 294.1 tofauti na meli ambazo imewahi kuzipokea hapo awali kwani meli ya mwisho kupokelewa ilikuwa na urefu…

Kampeni chafu yaanzishwa dhidi ya Kidata wa TRA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kampeni chafu imeanzishwa kwenye mitandao ya kijamii dhidi ya Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata, na genge la wakwepa kodi ili kujaribu kumchafua Kamishna huyo. Genge hilo limewalipa wahuni…

Mbunge Yustina Rahhi aunga mkono juhudi za Rais Samia kwa kutoa mafunzo ya ujasiriamali Kiteto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara Yustina Rahhi ameandaa mafunzo ya ujasiriamali kwa wajengea uwezo akina mama na vijana wajasiriamali wa Mkoa wa Manyara ili kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kupelekea…

Mzeituni mmea tiba uliotajwa kwenye vitabu vitakatifu

MZEITUNI ni mti unaostawishwa katika mataifa mbalimbali duniani. Pamoja na kupatikana kwenye nchi nyingi, lakini Israel ambayo ni nchi takatifu, ni miongoni mwa mataifa yanayostawisha kwa wingi zaidi mmea huo. Mti huu ni ule uliotajwa mara kadhaa ndani ya vitabu…

Wazazi, walezi Iringa washauriwa kuacha ulevi ili kumlinda mtoto

Wazazi na Walezi wa Kijiji cha Tungamalenga Tarafa ya Idodi Wilaya ya Iringa mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya ulevi na kutotekeleza majukumu yao ya malezi kwa watoto ili kuhakikisha uliinzi na usalama wa watoto wao. Akizungumza kwenye mkutano wa…

Majaliwa : Rais Dk Samia amedhamiria kufikisha maendeleo kwa wote

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuhakikisha wananchi wote wanapata maendeleo na huduma mbalimbali za msingi kwa wakati na karibu na maeneo yao ya makazi. Maendeleo hayo yatakuwa dhahiri na endelevu endapo…