JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Msukuma aomba mwongozo wa wafanyabiashara Kariakoo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma amesimama bungeni leo asubuhi akiomba mwongozo wa Spika kuhusu mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo mkoani Dar es Salaam ulioanza leo, akisema kuwa watoka maeneo mbalimbali ya nchi kwa ajili ya…

Bendera ya Taifa yapeperushwa vema nchini Rwanda

Na Mwandishi Maaalum Kikundi cha Maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Vyombo vya Usalama na Taasisi mbalimbali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoshiriki Zoezi la 13 la Medani la Nchi wanachama wa…

‘Serikali kuwalinda wafanyabiashara waliofungua maduka Kariakoo’

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Arbert Chalamila amesema Serikali itawalinda wafanyabiashara wa eneo la Kariakoo waliofungua maduka yao siku ya leo licha kuwepo kwa mgomo. Chalamila ameyasema hayo wakati akizungumza na…

Idadi ya mahujaji waliofariki Saudia yafikia watu 1,301

Mamlaka nchini Saudi Arabia imetangaza kuwa idadi ya mahujaji waliokufa kutokana na joto kali wakati wa Hijjah ya mwaka huu imefika watu 1,300 na kwamba asilimia 83 ya waliokufa walikuwa mahujaji ambao hawakusajiliwa. Miongoni mwa raia wa Misri 658 waliokufa…

Wafanyabiashara Kariakoo wagoma kufungua maduka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo Juni 24, 2024 wafanyabiashara wa soko la Kariakoo wamegoma kufungua maduka wakishinikiza Serikali kutekeleza makubaliano yao waliyokubaliana mwaka jana 2023 katika kikao chao na waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Biashara pekee zinazoendelea kufanywa…

Mamia wajitokeza kambi ya madaktari bingwa Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kambi ya Madaktari bingwa Imeanza kuhudumia wananchi wa Mkoa wa Arusha kwenye Kliniki maalum iliyoanza leo Juni 24, 2024 ikitarajiwa kufanyika kwa siku saba Mfululizo kwenye Viwanja vya michezo vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha….