JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Matumizi ya kidigital shuleni kusaidia weledi kwa wanafunzi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Sekta ya elimu inatakiwa kuja na mikakati mizuri ya Tehama ili kusaidia weledi wa ufundishaji kwa kuangalia mabadiliko ya teknolojia yanayoenda kasi ili kurahisisha shughuli zake na kuwa na weledi. Hayo yamebainishwa leo Juni…

Nyota yang’ara mchezo wa kuogelea

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar ea Salaam MASHINDANO ya mchezo wa kuogelea kwa vijana yamemalizika hapo juzi kwenye bwawa la kuogelea lililopo katika Shule ya Kimataifa Tanganyika (IST) huku vijana mbalimbali wakichuana vikali. Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili mara…

Dk Biteko akutana na wawekezaji wa Modern Industrial Park

📌 Asisitiza Serikali itaendelea kushirikiana na wawekezaji Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na wawekezaji wa Modern Industrial Park wanaomiliki kongani ya…

Vifo vyafikia 19 shambulio la jimbo la Urusi la Dagestan

Idadi ya vifo vilivyotokana na shambulizi la jana Jumapili katika jimbo la Dagestan kusini mwa Urusi imeongezeka na kufikia 19. Kulingana na Kamati ya uchunguzi mapema leo, washambuliaji watano pia waliuawa kwenye shambulizi hilo. Shirika la habari la AFP limeinukuu…

Afisa mifugo mbaroni kwa kupuuza wajibu wa kazi

Mahakama ya Wilaya Karagwe imemtia hatiani Afisa Mifugo wa Kijiji cha Nyaishozi – Mwenge Datius Mathias. Mshtakiwa ametiwa hatiani kwa kosa la kupuuza wajibu wa kikazi kinyume na kifungu cha 123 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu na kupewa adhabu…

CCM yataka Dk Mwinyi aongezewea muda

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk Mohamed Said Dimwa amesema wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu (NEC) CCM Taifa Zanzibar wamepitisha pendekezo la kuishauri Kamati Maalumu ya NEC kuridhia kumuongezea muda Rais wa…