JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Ruvuma ina wajane zaidi ya 49, 000

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea TAKWIMU za Sensa ya Watu na Makazi za mwaka 2022 zinaonesha kuwa Mkoa wa Ruvuma una jumla ya wajane wapatao 49,702. Hayo yasemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Ndugu Rehema Madenge wakati anafungua…

Taasisi za umma zasisitizwa umuhimu wa mfumo wa NeST- Twamala

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kaimu Katibu Tawala ,Mkoa wa Pwani ,Shangwe Twamala amesisitiza ulazima wa Taasisi za Umma kutumia mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa Umma “NeST” ambao unasimamiwa na mamlaka ya udhibiti wa ununuzi wa Umma(PPRA). Hayo aliyasema…

Malezi na makuzi mabovu yalivyokiini cha ukatili katika jamii

Na Daniel Limbe,Geita “Samaki mkunje angali mbichi” ndivyo wasemavyo wahenga wakimaanisha mtoto mwema,mwenye hekima, busara na maarifa huandaliwa kingali mdogo. Maneno hayo yanauweka bayana ukweli wa maisha ya mwanadamu katika malezi na makuzi ya mtoto hata anapokuwa mtu mzima. Ukweli…

Dk Samia mgeni rasmi kilele cha Wiki ya Wazazi Mpanda

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Wazazi kinachotarajiwa kufanyika Julai 13 mwaka huu Wilayani Mpanda Mkoani Rukwa. Hayo yameelezwa leo Julai 24,2024 Jijini…

TANESCO yatangaza kuanza rasmi kwa maboresho ya mfumo wa LUKU mikoa Kanda za Kusini, Nyanda za juu Magharibi

Na Agnes Njaala, JamhuriMedia, Rukwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza rasmi kwa zoezi la maboresho ya mfumo wa LUKU ambapo sasa ni zamu ya mikoa ya Kanda ya Kusini na Nyanda za juu Kusini Magharibi. Akitangaza kuanza rasmi…