JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Uhuru Kenyatta awaomba viongozi kuwasikiliza wananchi

Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta, ametoa wito wa amani kufuatia maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 ambayo siku ya Jumanne yalikumbwa na matukio ya vurugu baada ya waandamanaji kuvamia Bunge la Taifa. Katika taarifa kwa vyombo…

Urusi yafungia matangazo vyombo 81 vya habari vya Ulaya

Urusi imetangaza kuzifungia vyombo vya habari 81 vya Ulaya kutangaza kwenye ardhi ya yake. Katika taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi iliyotolewa Jumanne orodha hiyo inajumuisha vituo 77 vya habari, magazeti, majarida na machapisho ya mtandaoni kutoka…

Muswada wa Fedha 2024; Bunge laidhinisha, wanajeshi kulinda amani Kenya

Bunge la Kenya limeidhinisha ombi la Baraza la Ulinzi la kutumiwa kwa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kutoa ulinzi kufuatia maandamano ya kupinga muswada wa Fedha kote nchini. Kulingana na Waraka wa Amri ya Ziada iliyopangwa Jumatano, Juni 26,…

Zaidi ya wagonjwa 160 wanapata matibabu Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kufuatia maandamano

Zaidi ya wagonjwa 160 wanapokea matibabu katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kufuatia maandamano ya jana ya kupinga ushuru. Kaimu mkuu wa upasuaji katika hospitali hiyo Dk Benjamin Wabwire anasema wagonjwa wengi waliletwa wakiwa na majeraha mbalimbali , sita walikuwa…

Ofisi ya Makamu wa Rais yasajili miradi 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imesajili miradi zaidi ya 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira yenye thamani ya zaidi ya shilingi trilioni 37.55. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…

Mkuu wa chuo Kikuu Huria akanusha kuvuja kwa mitihani, 17 wadakwa wakijifanya wanafunzi

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Profesa Elifasi Bisanda amekanusha kuvuja kwa mitihani na kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu wakati wa mitihani cmya muhula uliopita. Aidha pia ameonya kwa wale wote wenye nia…