JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Biden aendelea kushinikizwa asiwanie

Rais Joe Biden anaendelea kukabiliwa na wito wa kujitoa kwenye kinyang’anyiro cha urais na kumpisha mgombea mwengine wa chama chake kupambana na Donald Trump kwenye uchaguzi wa Novemba mwaka huu. Magavana na wabunge kadhaa wa chama chake wanangoja mahojiano ya…

Hanang yadhamiria kuwekeza kwenye madini ya ujenzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hanang Halmashauri ya Wilaya ya Hanang iliyopo mkoani Manyara imedhamiria kuwekeza kwenye Madini ya Ujenzi hususan kokoto ili kuongeza vyanzo vingine vya mapato. Hayo yamebainishwa leo Julai 04, 2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Teresa…

Tanzania, Qatar kushirikiana sekta ya utalii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. Hayo yamebainika leo…

UDOM yajielekeza kwenye tafiti zinazotatua changamoto za jamii

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimesema kuwa kimejielekeza kufanya tafiti zinazotoa majibu ya changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii ili kuhakikisha kunakuwa na ustawi kwa Watanzania. Akizungumza kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa…

Majimbo yote ya uchaguzi Mwanza kupata barabara za kiwango cha lami – Mhandisi Ambrose

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Katika kipindi cha mwaka 2023/2024 serikali imetekeleza miradi 7 ya maendeleo katika mkoa wa Mwanza yenye urefu wa kilomita 39 ambapo gharama za miradi hiyo ni Shilingi Bilioni 56.038 ambapo majimbo yote ya uchaguzi yatapata…