JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Nape: Tuna wajibu wa kuilinda nchi yetu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewataka Wanachama wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA), kutumia vizuri majukwaa yao ya habari mtandaoni kujipatia kipato ili kukuza…

Waziri Kairuki atangaza fursa za sekta za misitu, nyuki na utalii

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amehamasisha Watanzania kuchangamkia fursa zilizopo katika Sekta ya Misitu, Nyuki na Utalii ili kujiongezea kipato na kupata ajira. Ameyasema hayo leo Julai 5,2024 alipotembelea…

Jela miaka minne na kulipa fidia ya milioni 3 kwa kumkata viganja mama mdogo

Na Daniel Limbe,Chato MKAZI wa kijiji cha Bwanga,wilayani Chato mkoani Geita, Faida Enocka,amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela na kulipa fidia ya shilingi milioni 3, baada ya kupatikana na hatia ya kumkata na kumjeruhi, Monica Laurent Nonga, mkazi wa kijiji…

Silaa- Nitawafuatilia watendaji wa ardhi watakaotajwa kuchochea migogoro

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ,ametoa rai kwa watendaji na maofisa idara ya ardhi katika Halmashauri nchini ,wafanye kazi kwa weledi na kujiepusha kuwa sehemu ya kukuza migogoro kwenye maeneo…

MSD yapata mafanikio makubwa, yaboresha upatikanaji bidhaa za afya kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BOHARI ya Dawa (MSD), imepata mafanikio makubwa hadi Juni mwaka huu wa 2024 kutokana na maboresho yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuongeza nguvu. Hayo yamebainishwa…

Tanzania na Japan kuendelea kushirikiana katika fursa mbalimbali

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Latifa Hamis ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF) ili kuona fursa mbalimbali…