JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Mkuu : Watanzania limeni maparachichi

*Silinde asema sh. bilioni 3.4 kujenga kiwanda, ahimiza wananchi wauze mahindi NFRA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wana-Iringa na Watanzania kwa ujumla waingie kwenye kilimo cha Parachichi kwa kuwa zao hilo linachochea ukuaji wa uchumi. Amesema kuwa katika kipindi cha…

CPA MAKORE: Waleteni VETA wenye mahitaji maalum wapate ujuzi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) CPA Anthony Kasore ametoa wito kwa jamii kuacha kuwafungia watu wenye mahitaji Maalum na badala yake wawapeleke VETA kupata ujuzi wa aina…

Katibu Gavu: Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Vijana wameshauriwa kuanzia mwaka huu 2024 waache kulalamika kuwa hawapewi nafasi za uongozi hivyo wajitokeze kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali ili wapate kushika hatamu kuongoza nchi yao ikiwemo ubunge, udiwani, unyekiti wa Serikali…

Sakata la sukari bado gumzo bodi yatoa ufafanuzi namna vibali vilivyotolewa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania, Prof. Kenneth Bengesi, amesema wanaendeleza mchakato wa majadiliano na wadau wa sekta hiyo nchini lengo ni kuhakikisha maslahi ya umma na wadau yanalindwa. Amefafanua hayo Mwishoji…

Waziri Makamba aongoza kikao cha mwaziri nchi 15 za Jumuiya za EAC

Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba (Mb) ameongoza Mkutano wa faragha wa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wanaoshughulikia masuala ya Afrika Mashariki katika Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika…

MAIPAC yazindua mradi wa mazingira, kupewa kiwanja Monduli

*Maarifa ya asili ya Wahadzabe katika uhifadhi kuandikwa Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Monduli Taasisi ya wanahabari ya Usaidizi wa Jamii za Pembezoni (MAIPAC) imezindua mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa kutumia maarifa ya asili huko Halmashauri ya Monduli na kuahidiwa kiwanja…