Year: 2024
Papa Francis azungumzia ‘ukatili’ unaotendeka Gaza
Kiongozi wa a kanisa katoliki duniani Papa Francis leo ameelezea masikitiko yake makubwa juu ya athari za mzozo wa Gaza na mashambulizi ya makombora yanayowalenga watoto kwenye ukanda huo. Kwenye hotuba yake aliyotoa katika makao makuu ya kanisa katoliki duniani…
Ajali ya Boti yaua 38 DRC, zaidi ya 100 hawajulikani walipo
WATU 38 wamethibitishwa kufariki na zaidi ya 100 bado hawajulikani walipo nchini Kongo baada ya kivuko kilichozidisha mzigo kilichokuwa kimejaa watu waliokuwa wakirudi nyumbani kwa ajili ya Krismasi kupinduka katika mto Burisa Ijumaa usiku, kulingana na maafisa wa eneo hilo…
IGP Wambura afumua Kikosi cha Usalama Barabarani
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus M. Wambura amefanya mabadiliko madogo kwa Wakuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani. Amemhamisha Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ramadhani Ng’anzi kutoka Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabaarani Tanzania kwenda Makao Makuu…
Nyabiyonza FC yaibuka kidedea dhidi ya Nyuki FC
📌 Dkt. Biteko ahimiza urafiki Nyabionza na Nyuki FC 📌 Mshindi wa kwanza aibuka na Milioni 6, wapili Milioni 4 Timu ya Nyabiyonza ya Karagwe mkoani Kagera imeibuka kidedea kwa kuifunga mabao mawili kwa moja timu ya Nyuki FC kutoka…
Majaliwa aipongeza Wizara ya Ujenzi kurejesha mawasiliano barabara Kuu Manyara – Singida
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kwa kurejesha mawasiliano ya barabara Kuu ya Manyara – Singida ambayo iliathirika Desema 3, 2023 wakati wa maafa ya maporomoko ya tope la mlima Hanang Mkoani…
Kampeni ya Mama Samia yapatiwa magari 10
Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Damas Ndumbaro,akizindua magari 10 kwa ajili ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) ili kuongeza kasi ya utoaji huduma hiyo kwa watanzania hafla iliyofanyika leo Disemba 20,2024 jjijini Dodoma. Na Mwandishi…