JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Miaka 85 ya TAG kuambatana na tamasha la mlipuko wa furaha Dar es Salaam

Na Magrethy Katengu, Jamuhuri mediaDar es Salaam Kanisa la Assembles of God(TAG) kwa kushirikiana na SOS Adventure wanatarajia kubadilisha wale wote waliofungwa na kamba za shetani kwa kutoa mahubiri, kufanya maombi kwa Mungu ili wawekwe huru katika Kristo Yesu. Akizungumza…

JKCI yaanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo Namtumbo

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo Madaktari Bingwa kutoka Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI ), imeanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma. Akizindua huduma hizo…

Shule bora yatoa misaada ya vifaa vya kujifunzia na majiko banifu vyenye thamani ya milioni 69/-

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani PROGRAMU ya Shule Bora nchini, imetoa msaada wa vifaa vya kujifunzia, vilivyogharimu sh. mil 40 kwa wanafunzi wa shule zilizoathirika na mafuriko Wilayani Kibiti na Rufiji mkoani Pwani. Pia imetoa msaada wa majiko banifu nane…

JKCI yatoa huduma mpya za tiba mtandao (DOZEE) Sabasaba

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanzisha huduma mpya za tiba mtandao na huduma ya kufuatilia maendeleo ya mgonjwa anayetibiwa akiwa nyumbani kwa kutumia kifaa kijulikanacho kwa jina la DOZEE. Hayo yameelezwa…

Wananchi watakiwa kupima viwanja vyao ili kupata atimiliki

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMISHNA wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, Shukrani Kyando ametoa wito kwa wananchi kujitahidi kulipia gharama za upimaji ardhi ili waweze kupimiwa Viwanja vyao na kupewa Hatimiliki. Wito huo…

RC Mara afurahishwa na uanzishwaji Tuzo za Uandishi wa Habari Nora

Na Helena Magabe,JamhuriMedia, Mara Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi amefurahishwa na hatua ya Mwenyekiti wa klabu ya Waandishi wa habari Mara(MRPC )Mugini Jacob kuazisha mchakato wa tuzo ya uandishi ulio Bora bora Mara. Haya ameyasema Julai 5,…