JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Serikali yachochea kuongezeka kwa mapato MSD

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassa, imeiongezea nguvu Bohari ya Dawa (MSD), na kuchangia kuleta mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuongeza mapato. Lengo la uwekezaji huo ni kuiwezesha…

Eric Omond atangaza kwenda Ikulu kuonana na Rais Ruto

Mchekeshaji Eric Omondi wa Kenya amemuomba rais wa nchi yao, William Ruto kuwafukuza kazi makatibu mawaziri, makatibu wakuu na wakuu wote wa mashirika ya umma kabla ya Alhamis wiki hii. Omondi amesema Wakenya wamepoteza imani kwa Serikali yote ya Ruto…

Mwanafunzi UDOM achora picha inayomuelezea Rais Samia akiwa katika majukumu matatu ya kitaifa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Enock Tarimo amechora picha ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inayomwelezea akiwa katika majukumu matatu ya kitaifa ambayo imekuwa kivutio kikubwa kwa…

Kigamboni waanza kuunganishiwa huduma ya maji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Mkama Bwire amesema kuwa Mamlaka imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji Jumaa Aweso la…

Kiswahili kiwe lugha rasmi ya saba ya Umoja wa Mataifa

Na Richard Mtambi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Maadhimisho ya Tatu ya Siku ya Kiswahili Duniani 2024, yalifanyika Julai 3, 2024 nchini Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na duniani kote lugha ya Kiswahili inakozungumzwa. Lengo la Maadhimisho haya ni kuitikia wito wa…

Ujenzi Daraja la Berega wakamilika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imekamilisha ujenzi wa daraja la Berega lililopo Barabara ya Berega – Dumbalume lenye urefu wa meta 140 na upana meta 11 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa,…