JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

CHADEMA kuandamana Septemba 23

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Freeeman Mbowe amewataka viongozi wa CHADEMA wa mikoa yote nchini kujipanga kuja Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki maandamano yanayotarajia kufanya Septemba 23,…

Serikali yavuna Trilioni 1.8 kupitia sekta ya uziduaji nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imepata jumla ya shilingi Trilion 1.877 kutoka kwenye kampuni 44 zilizolinganishwa katika sekta ya madini, mafuta na gesi ikiwa na tofauti ya kati ya malipo na mapato ya shilingi milioni 402.41 kwa…

DC Nyasa : Usimamizi mbovu umechangia Halmashauri Nyasa kushindwa kufikia malengo

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nyasa MKUU wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Peres Magiri amesema kuwa ,usimamizi mbovu wa vyanzo vya mapato kutoka kwa baadhi ya wataalam na watendaji wa vijiji na kata umesababisha Halmashauri hiyo kushindwa kufikia malengo ya…

TMA yasisitiza umuhimu matumizi ya huduma za hali ya hewa kwa wadau wa ununuzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa elimu kwa wadau mbalilmbali wa Ununuzi kuhusu matumizi sahihi ya huduma za hali ya hewa pamoja na kuchangia gharama za upatikanaji wa huduma hizo katika utekelezaji wa…

Wanaume kutoka jamii ya Kimasai watetea maslahi ya wanawake

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Kwa miongo kadhaa wanawake kutoka jamii za pembezoni ikiwemo ya kimaasai wamekuwa hawapewi kipaumbele kwenye masuala mengi kama elimu, uongozi na kiuchumi. Kutokana na changamoto hizo, serikali kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali ya…

DCEA yasihi watu wa forodha kuongeza umakini kwenye ukaguzi bidhaa

Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewasihi watumishi wa forodha kuzifanyia ukaguzi wa kina bidhaa zinazoingizwa na kutoka nchini, ikidaiwa wahalifu wa dawa za kulevya huzitumia kuvusha skanka; JAMHURI…