JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

NIRC yakabidhi mradi wa umwagiliaji wa zaidi ya bilioni 5/- kwa mkandarasi Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe TUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imemkabidhi mkandarasi kazi ya ujenzi mradi wa umwagiliaji katika Kijiji cha Itipingi mkoani Njombe ambao utagharimu zaidi ya shingi bilioni 5.2. Mradi huo awali ulijengwa kwa gharama ya shilingi…

DCP Ng’anzi : Ipo siku ile ndoto ya Tanzania bila ajali kwa mwaka inawezekama

Na Jeshi la Polisi , JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama barabarani Tanzania DCP. Ramadhani Ng’anzi amesema tatizo la ajali za barabarani bado ni kubwa hivyo Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani linafanya kila jitihada…

Wananchi wafurahia huduma za Mama Samia Legal Aid Campaign Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wanaojitokeza katika banda la Mama Samia Legal Aid Campaign katika maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaama (DITF), kupata msaada wa kisheria wamefurahia huduma hiyo huku wakieleza itasaidia kukuza…

Watoto 300 wafaidika na matibabu ya moyo kupitia CRDB Marathon

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB Abdulmajid Nsekela akikabidhi bendera za nchi za Tanzania, Burundi na Congo kuashiria uzinduzi wa mbio za CRDB msimu wa tano zitakazofanyika katika nchi hizo mwezi wa nane mwaka huu kwaajili ya kuchangia matibabu ya…

Dk Mpango aitaka Wizara ya Mambo ya Ndani kuharakisha upatikanaji vitambulisho vya Taifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema tayari maelekezo yametolewa kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhakikisha inaharakisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa ili kuondoa adha wanayopitia wananchi wa Kigoma na…

Aziz Ki bado yupo sana kwa wananchi

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BAADA ya gumzo la muda mrefu kila mmoja kiazungumza lake, hatimaye Klabu ya Yanga leo Julai 10, 2024 imethibitisha rasmi kuwa mchezaji wao Aziz Ki bado ataendelea kusalia klabuni kwako. Baada tu ya…