JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Makamba aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, ulinzi na usalama SADC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa 26 wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Ushirikiano katika masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya…

UNEP kuleta neema Tanzania

Tanzania imeahidiwa na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) kuungwa mkono katika vipaumbele vya mazingira ikiwemo agenda ya nishati safi ya kupikia. Hayo yamejiri wakati wa mazungumzo kati ya Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais…

Urusi: Kupeleka silaha Ujerumani kutachochea vita Baridi

Urusi imekosoa mpango wa Marekani wa kupeleka makombora ya masafa marefu nchini Ujerumani ikisema hatua hiyo inawarejesha kwenye zama za Vita Baridi. Msemaji wa Ikulu ya Kremlin, Dmitry Peskov ameishutumu Ujerumani, Marekani, Ufaransa na Uingereza kwa kujiingiiza moja kwa moja…

MSD yaanika mikakati ya kujiongezea mapato

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dodoma BOHARI ya Dawa (MSD), imedhamiria kuongeza uwezo wa kuhifadhi dawa kwa kujenga maghala na kuangalia maeneo ambayo yatapunguza gharama za usambazaji pamoja na kuimarisha mifumo ya TEHAMA inayohusu usimamizi wa maghala na ushiriki kwenye kutengeneza…

Wema Sepetu: Ipo haja ya wasanii kurudi shule, wampa tano Rais Samia

Mwigizaji na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amesema kuna haja ya wasanii kurudi shuleni, ili kuongeza ujuzi na maarifa yatakayowasaidia kuboresha kazi zao za filamu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufikiria kufanya mabadiliko makubwa katika sekta hiyo na…

WHO: Homa ya nyani bado ni tishio la kiafya ulimwenguni

Shirika la Afya ulimwenguni, WHO limetahadharisha kwamba maradhi ya homa ya nyani bado ni kitisho cha kiafya kote ulimwenguni bila kujali mipaka. huku likielezea wasiwasi wake kwa kuangazia hasa mlipuko wa aina mpya na mbaya zaidi ya virusi vya homa…