JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

RC Chalamila : Serikali itaweka utaratibu mzuri kwa wafanyabiashara Simu 2000

-Awakutanisha DART, Manispaa ya Ubungo na Wafanyabishara wadogo.-Aeleza dhamira ya Serikali kutekeleza mradi huo-Asisitiza bado Serikali itaendelea kujali na kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wadogo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert…

Rais Samia : Acheni kuvamia maeneo ya hifadhi

Na Happiness Shayo, KamhuriMedia, Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi kuacha kuvunja sheria kwa kuvamia maeneo ya hifadhi na badala yake kutunza mazingira hayo. Kauli hiyo imekuja kutokana na maombi ya…

Timu ya Taifa ya Tenis safarini kushiriki mashindano ya dunia

Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Timu ya taifa ya mchezo wa tenis imesafiri asubuhi ya leo hii kuelekea nchini bostwana kushiriki mashindano ya Dunia kanda ya tano kwa ukanda wa Afrika. Akizungumza hapo jana katika hafla ya kuagwa kwa…

eGA yatoa wito kwa wananchi kutumia mfumo wa e-mrejesho

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Serikali Mtandao (eGA) imetoa wito kwa wananchi kutumia mfumo wa e-mrejesho katika kuwasiliana na serikali kutoa hoja zao ili iweze kuzifanyia kazi. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la eGA…