JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Semfuko awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa ya ufugaji wa wanyamapori

Na Beatus Maganja, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amewahimiza watanzania kuchangamkia fursa za ufugaji wa wanyamapori zinazopatikana katika Taasisi ya TAWA. Ameyasema…

‘Michakato ya miradi ya maendeleo iharakishwe’

Watendaji wa Halmashauri ya mji Nanyamba mkoani Mtwara wametakiwa kuharakisha michakato ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wakati pindi wanapopata fursa ya miradi hiyo ili kuleta matokeo chanya kwa wananchi. Akizungumza wakati wa kukagua mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Mtimbwilimbwi…

Wafungwa na walinzi wauawa katika Gereza la Mogadishu

Wafungwa watano na walinzi watatu wameuawa katika majibizano ya risasi wakati wa jaribio la kutaka kutoroka katika gereza kuu katika mji mkuu Mogadishu. Wafungwa hao wanadaiwa kuwa ni wanachama wa Al-Shabaab. Wafungwa watano wanaosemekana kuwa ni wanachama wa kundi wa…

Watu 71 wauawa baada ya shambulizi la Israel, Gaza

Kiongozi wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza Mohammed Deif anaaminika kuwa miongoni mwa wahanga wa shambulizi la anga la Israel ambalo mamlaka ya afya inayoendeshwa na Hamas huko Gaza Kiongozi wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza…

Viongozi wanne hatiani kwa ubadhirifu fedha za urasimishaji makazi

Mnamo tarehe 05/07/2024 imetolewa hukumu ya kesi ya Jinai namba CC.386 /2024 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Gloria Nkwera, katika shauri lililoendeshwa na Mawakili Waandamizi wa Serikali – Veronica Chimwanda na Fatuma Waziri ambapo Ahmed Waziri Msika na wenzake watatu walitiwa…

Gavana Bwanku awashauri waganga wa jadi kujiepusha na ramli chonganishi

📍Bukoba, Kagera Aongozana na mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Kagera Chifu Nyarubamba, watendaji wa Kata, Polisi Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero iliyoko Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Bwanku M Bwanku leo Jumamosi Julai 13, 2024 amefanya kikao na waganga…