JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais wa Shirikisho la Soka Colombia, mtoto wake wakamatwa

RAIS wa Shrikisho la Mpira wa Miguu Colombia(FCF), Ramón Jesurún, na mtoto wake wamekamatwa baada ya kutokea ugomvi wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Amerika Kusini’Copa América‘ Julai 14 katika jiji la Miami, Marekani. Ramón, 71, na Ramón…

Mtu tajiri zaidi barani Afrika asema hana nyumba nje ya Nigeria

Tajiri mkubwa barani Afrika Aliko Dangote amewashangaza watu wengi wa Nigeria baada ya kusema hana nyumba nje ya nchi hiyo. Dangote alisema alikuwa na nyumba mbili – katika mji aliozaliwa wa Kano, na Lagos – na aliishi katika nyumba ya…

Polisi 200 zaidi wa Kenya waelekea Haiti

Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya waliondoka Jumatatu usiku kuelekea Haiti, chini ya mpango unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa unaolenga kumaliza ghasia za magenge ya wahalifu katika taifa hilo la Caribbean. Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya…

Arusha yaibuka Kinara katika raundi ya tatu ya mashindano ya Gofu ya Lina PG Tour

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkoa wa Arusha umeibuka kinara wa jumla wa raundi ya tatu ya mashindano ya gofu ya Lina PG Tour baada ya wawakilishi wake Nuru Mollel kushika nafasi ya kwanza na Elisante Lemeris kushika…

Mwenyekiti BAWACHA Mara akemea rushwa ndani ya chama

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Mkoa wa Mara (BAWACHA), Veronica Irecho amekemea vikali vitendo vya rushwa vinavyojitokeza ndani ya Chama cha Demokakrasia na maendeleo (CHADEMA) Akizungumza katika kikao cha 7 tangu aanze ziara ya…

Kaya 400,000 kuondolewa TASAF baada ya kuboreka kimaisha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), umesema upo katika hatua za mwisho za kuondoa kaya 400,000 ambazo zilikuwa kwenye mpango wa kunusuru kaya maskini baada ya kuweza kuboreka kimaisha. Mziray amesema hayo wakati akizungumza na…