JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wanasayansi wagundua pango la makazi mwezini

Kwa mara ya kwanza wanasayansi wamegundua pango la makazi mwezini. Pango hilo lenye kina cha mita 100, linaweza kuwa mahali pazuri kwa wanadamu kujenga makazi ya kudumu. “Ni moja tu kati ya mamia ya mapango yaliyofichwa katika ulimwengu wa chini…

Auawa katika maandamano ya kumtaka rais wa Kenya kuondoka madarakani

Waandamanaji wanaoipinga Serikali nchini Kenya walirejea barabarani wakiongeza madai ya kumtaka Rais William Ruto ajiuzulu licha ya mabadiliko yake ya hivi majuzi. Mwanamume mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi wakati wa makabiliano kati ya waandamanaji na vikosi vya usalama viungani mwa…

Mahakama yaamuru Hersi na wenzake wang’oke Yanga

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imeamuru Uongozi wa klabu ya Yanga ukiongozwa na Rais wake, Injinia Hersi Saidi na wenzake, kuachia ngazi na kuondoka kwenye klabu hiyo kwakuwa Katiba…

Chalamila apokea melivita ya matibabu ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China, matibabu bure

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam -Atoa rai kwa wakazi wa Dar es Salaam na Watanzania kujitokeza kwa wingi kupatiwa matibabu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Julai 16,2024 amepokea Melivita ya matibabu iitwayo Peace…

ATCL yaanzisha kampeni ya afya yako mtaji wako

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI ya ndege ya (ATCL), imeanzisha kampeni ya miezi mitatu iliyopewa jina la Afya yangu maisha yangi kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujali afya zao. Kampeni hiyo imetangazwa leo na itamazilika mwezi Oktoba…

Babati DC haijakurupuka bali imejipanga na miradi yenye Viwango -Mnzava

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava amesema Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara haijakurupuka bali imejipanga kwa kuwa na miradi yenye viwango. Hayo amezungumza Julai 16, Mwaka huu wakati…