JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Samia : Bei ya mahindi sasa 700, mbegu za ruzuku kuanza mwenzi ujao

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya majumuisho ya ziara ya siku tatu mkoani Rukwa tarehe 17 Julai 2024 mbele ya maelfu ya wananchi wa Rukwa. “Waziri Bashe nakuagiza nendeni na bei ya shilingi 700…

Aisha Masaka atua Ligi Kuu wanawake England

Mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake wa Tanzania Aisha Masaka amejiunga na klabu ya Brighton & Hove Albion ya Ligi Kuu England. Brigton @ Hove Albion imemtambulisha Aisha kupitia mitandao yake na kijamii. “Tunafurahia kutangaza usajili wa mshambuliaji Aisha…

Vigogo ACT Wazalendo kuzunguka majimbo 125

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa chama, Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita, Katibu Mkuu, Ado Shaibu na kiongozi mstaafu Zitto Kabwe wanatarajiwa kuanza ziara katika majimbo 125…

Anaswa na mbinu mpya ya utengenezaji dawa za kulevya kwa kutumia tiba asili

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shabani Musa Adam (54) anashikiliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa tuhuma za kutengeneza dawa za kulevya zinazojulikana kama heroin kwa kutumia dawa tiba asili zenye asili ya…

Jukumu letu kuzingatia sheria katika kutoa na kupokea huduma – Simbachawane

 Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Kibakwe, Mhe. George Simbachawene amewataka viongozi na wananchi kuzingatia Sheria za nchi katika kutoa na kupokea huduma. Simbachawene ametoa kauli…