JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Airpay Tanzania wadhamini tamasha la pili fahari ya Zanzibar, Rais Mwinyi kulizindua

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Airpay Tanzania imedhamini tamasha la pili la fahari ya Zanzibar linalotarajiwa kufanyika Septemba 20 hadi 27 mwaka huu huku Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi…

Women Tapo na AKHST wasaini makubaliano kusaidia huduma za afya kwa wanawake wachuuzi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuhakikisha wanawake wanaofanya biashara masokoni na wachuuzi wanapata huduma bora za Afya, Taasisi ya Women Tapo na Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHS, T) wamesaini mkataba wa makubaliano wa kushirikiana katika kushugulikia…

Mbarawa atembelea ujenzi wa matenki ya kuhifadhia mafuta TPA,apongeza

Na Mwandishi Wetu,Dar eS Salaam Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa ametembelea mradi wa ujenzi wa matenki maalum ya kuhifadhia mafuta (Oil Terminal) wa TPA unaofanyika katika wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam ukihusisha ujenzi wa matenki makubwa 15…

HESLB wabadilishana hati ya makubaliano na TRA

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia,Dar es salaam BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Mamlaka ya Mapato TRA imeingia makubaliano ya kubadilishana hati ya ushirikiano kwa ajili ya kurahisisha ukusanyaji madeni kwa wanufaika wenye kipato ambao…

Waziri Bashe akutana na Mpina uso kwa uso, amshauri kuacha siasa zao la pamba

Na Mwandishi wetu, JajhuriMedia, Simiyu Waziri wa Kilimo Husein Bashe (mb) amewasili katika Jimbo la Kisesa na kukutana ana kwa ana na mbunge wa Jimbo hilo Luhaga Mpina. Waziri Bashe amemshauri Mpina kuacha kufanya siasa katika zao la pamba kwani…

CCM walaani kampeni ya ‘ Samia Must Go’

Na Isri Mohamed KATIBU mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amezungumza na wanahabari leo kuhusiana na masuala mbalimbali ya kisiasa na kijamii yanayoendelea nchini, hususani matukio ya utekaji na mauaji yaliyotokea yakiwemo ya aliyekuwa mjumbe wa sekretarieti…