Year: 2024
Watu 94 wamekufa kufuatia kimbunga Chido
Shirika la kukabiliana na majanga nchini Msumbiji limesema kuwa mpaka sasa idadi ya vifo vilivyotokana na kimbunga Chido vimefikia 94. Wiki moja sasa tangu Kimbunga Chido kutokea na kuishambulia pwani ya Msumbiji na kuathiri maeneo mengi ikiwemo visiwa vya Mayotte….
Kasesela : Mbunge, diwani atakayeshindwa kutetea nafasi yake ajilaumu mwenyewe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Mjumbe wa Halmshauri kuu ya chama cha Mapinduzi (CCM) taifa (MNEC) Richard Kasesela amesema kuwa Mbunge au Diwani atakayeshindwa kutetea nafasi yake ajilaumu mwenyewe kwa kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametekeleza mikubwa kwenye kila…
Gridi za Tanzania, Kenya kuimarisha upatikanaji umeme nchini : Gissima Nyamo-Hanga
📌 Awahimiza wataalamu kusimamia zoezi la kuziunganisha Gridi za Tanzania na Kenya kwa umakini bila kuathiri upatikanaji wa umeme kwenye mfumo wa Gridi ya umeme Nchini 📌 Aeleza faida za Tanzania kufanya biashara katika soko la EAPP na SAPP Mkurugenzi…
Waziri Mkuu wa Slovakia akutana na Putin katika ziara ya kushtukiza mjini Moscow
Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico amefanya ziara ya kushtukiza mjini Moscow kwa mazungumzo na Vladimir Putin – akiwa ni kiongozi wa tatu pekee wa nchi za Magharibi kukutana na kiongozi huyo wa Urusi tangu uvamizi kamili wa Ukraine miaka…