JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wapiga kura wapya zaidi ya milioni tano kuandikishwa

……………… Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 jumla ya wapiga kura wapya 5,586,433 wataandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Amesema kuwa wapiga kura hao ni…

Rais ataka Viongozi wa Kimila kujijengea Mvuto wa kuaminiwa na jamii

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan(Chifu Hangaya) ameiagiza Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuharakisha kukamilisha mwongozo wa utambuzi wa Viongozi wa Kimila(Machifu)utakao saidia Taasisi hiyo kujiendesha kwa kufuata Katiba…

Serikali yajipanga usambazaji umeme kwa kuweka mazingira wezeshi Mbinga

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia, Mbinga Serikali kupitia Wizara ya Nishati imejipanga katika kuweka mazingira wezeshi ya utendaji kazi kwa kuhakikisha kuwa huduma za umeme zinaenda vizuri kama zilivyopangwa na kupeleka magari ya kubebea nguzo kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo Wilaya ya Mbinga…

Katibu Tawala Songea atoa maagizo kwa kwa viongozi wa vijiji, kata

Na Cresensia Kapinga, JakhuriMedia,Madaba KATIBU Tawala wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mtela Mwampamba amewaagiza viongozi wa vijiji na kata kusimamia sheria ndogo ndogo zilizowekwa ili waweze kuepusha majanga ya uharibifu wa mazingira ikiwemo uchomaji moto misitu kinyume na taratibu…

Mageuzi yalinusuru Shirika la Posta Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amelizungumzia Shirika la Posta Tanzania (TPC) kama taasisi ya umma kongwe na yenye matawi nchi nzima na kulipongeza kwa ubunifu…

Waziri Bashe atangaza neema kilimo cha umwagiliaji Katavi

Waziri Kilimo Hussein Bashe, ametangaza neema kwa wakulima wa Katavi na kusisitiza kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji. Amesema ahadi alizozitoa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan mkoani humo ni lazima zitekelezeke hivyo serikali inaendelea na uwekezaji wa…