JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Uchaguzi wa Marekani 2024, Trump sasa ndiye mteule

Mengi yamefanywa kuhusu umri wa Joe Biden na Donald Trump na jinsi wapiga kura wanavyowaangalia Mtazamo huo ulikuwa zaidi kwa Biden mwenye umri wa miaka 81 ambaye kashfa, mashaka na makosa yake yyalikuwa gumzo – hasa katika wiki baaya mjadala…

Waziri Bashe akabidhi mradi wa umwagiliaji Luiche Kigoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) ameshiriki katika kukabidhi mradi wa umwagiliaji wa Bonde la Luiche, mkoani Kigoma lenye ukubwa wa hekta 3000 kwa mkandarasi M/S CRJE (East Africa) LIMITED ya Dar es Salaam kwa…

Bashe: Rais Samia hataki utani kilimo cha umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amewahakikishia Watanzania kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuleta mapinduzi sekta ya Umwagiliaji, hivyo miradi yote aliyoahidi itatekelezwa Waziri Bashe amesisitiza utekelezaji wa miradi hiyo unaofanywa na Tume ya…

Waziri Kairuki kushiriki mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani Zambia

Na Mwandishi Wetu – Zambia Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amewasili nchini Zambia leo Julai 21,2024 kwa ajili ya kushiriki mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Utalii wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN…

Meli Vita ya Kichina ya matibabu yahudumu watu zaidi ya 5,000

Na WAF – Dar Es Salaam Melivita ya matibabu iitwayo ‘Peace Ark’ ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China imetoa matibabu kwa wagonjwa zaidi ya elfu 5,000 kwa siku Tano baada ya kukita nanga katika bandari ya Dar Es…