JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Vijiji vyote Nyasa vyafikiwa na umeme

📌 Kapinga asema TANESCO na REA zimejizatiti kufikisha umeme maeneo ya kijamii 📌 Vitongoji havijasahaulika; 122 kati ya 421 vina umeme 📌 Upelekaji umeme viwandani, migodini na maeneo ya kilimo unaendelea Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga leo Julai 22,…

Rais Samia ana maamuzi magumu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo tumeshuhudia kishindo kikubwa katika siasa za Tanzania. Kishindo hiki kimetokana na kalamu ya Rais Samia Suluhu Hassan, juu ya ‘maamuzi magumu’ aliyoyafanya kwa mawaziri wanne. Ametengua uteuzi wa mawaziri…

Mwigulu: Hakuna uchotaji fedha BoT

WAZIRI wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema hakuna utata au uchotaji wa Fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Kupitia ukurasa wake katika mtandao wa kijamii wa X Dk Mwigulu ameeleza kuwa BoT inasimamia kwa umakini sheria za nchi na…

‘House Girl’ aliyemchinja mtoto wa bosi wake akamatwa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kumkamata dada wa kazi aliyefahamika kwa jina la Clemensia Mirembe (19) aliyekuwa anatafutwa kwa kosa la kumchinja mtoto wa bosi wake. Tukio hilo…

Bukombe waishuku Serikali kwa maendeleo

📌 Wajivunia ujenzi wa miundombinu huduma za jamii 📌 Dkt. Biteko Asisitiza umuhimu wa ushirikiano kuleta maendeleo 📌 Ataka Wananchi kuchagua Viongozi Wenye Sifa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

DC Magoti ampigia simu Aweso, tatizo la maji Majumba Sita

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe BAADHI ya maeneo kata ya Kiluvya wilayani Kisarawe, mkoani Pwani ikiwemo Makurunge, Majumba Sita wamelalamikia ukosefu wa maji hali inayosababisha kutumia maji ya bwawani na wanafunzi kubeba kupeleka shule ili kukabiliana na kero hiyo. Akizungumzia…