JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Watu 37 wahukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC

MAHAKAMA ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliwahukumu kifo watu 37, wakiwemo raia watatu wa Marekani, baada ya kuwatia hatiani kwenye mashitaka ya kushiriki katika jaribio la mapinduzi. Akisoma hukumu hiyo siku ya juzi mjini Kinshasa, Jaji Meja…

Tanzania yang’ara Tamasha la Mabalozi Uholanzi 2024

Na Mwandishi Maalumu Ubalozi wa Tanzania umetamba kwenye Tamasha la Mabalozi 2024 (Embassy Festival) nchini Uholanzi, ambalo limevutia watazamaji zaidi ya 50,000 mwishoni mwa wiki iliyopita katika jiji la The Hague. Idadi hiyo ya wahudhuriaji ilijumuisha makumi ya Watanzania waishio…

Waziri Mavunde awataka Watanzania kuchangamkia manunuzi ya bidhaa ya trilioni 3.1 migodini

–Azindua rasmi Chama cha Watoa Huduma na Wauzaji wa Bidhaa Migodini –Afurahishwa na Watanzania kuzingatia ubora –Awataka kushirikiana na kusaidiana –Rais Samia apongezwa kuvutia uwekezaji Dar es salaam Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde amewataka watanzania wanaoshiriki kwenye mnyororo wa…

Dk Biteko ahimiza wanawake kutumia mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi

📌Asisitiza Benki Kuendelea Kuhudumia Watanzania 📌 Azindua Mwongozo wa Uratibu na Usimamizi wa Mifuko na Programu za Uwezeshaji 📌Programu ya Imarisha Uchumi na Samia Kukomboa Wananchi 📌 Asisitiza Watanzania Kuchagua Viongozi Bora Serikali za Mitaa Na Ofisi ya Naibu Waziri…

Mkunda awavisha nishani majenerali wa JWTZ kwa niaba ya rais

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Mhe Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali Majenerali, Maafisa na Askari wa JWTZ mjini Morogoro tarehe 14 Septemba…

Viongozi soko la Machinga Dodoma wasimamishwa kupisha uchunguzi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Viongozi wa soko la wazi la Machinga lililopo Mtaa wa Kitenge, Kata ya Majengo katika Jiji la Dodoma, wamesimamishwa uongozi kupisha uchunguzi kutokana na kudaiwa kutenda makosa ya kiuongozi na kijinai kwa wafanyabiashara wa soko hilo….