JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Wanafunzi Chuo cha Utalii Pasiansi wapata elimu ya usalama wa watalii

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Wanafunzi toka Chuo cha Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi kutoka Mkoani Mwanza leo wamefika Katika kituo cha Polisi cha Utalii na Diplomasia Jijini Arusha kwa ajili ya kujifunza namna ambavyo Kituo hicho kinafanya…

NEMC yakemea matumizi vifungashio vya plastiki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limekemea vikali matumizi ya vifungashio vya plastiki visivyokidhi viwango ambavyo vimegeuzwa kama mifuko ya kubebea bidhaa sokoni. Hayo yamesemwa leo na Ofisa Mazingira Mwandamizi wa…

Wanafunzi Chuo cha Ustawi wa Jamii kushiriki Shindano la kimataifa ‘Hult Prize’ nchini Kenya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii ni Miongoni mwa wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali Duniani wanaokutana Jijini Nairobi Nchini Kenya kuwania Tuzo ya ‘Hult’. Wanafunzi hao ni Hellena Sailas, Maria Daudi, na…

Dirisha la wanafunzi kuomba mkopo 2024/25 lafunguliwa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini(HESLB), imetangaza kufunguliwa dirisha la kuomba mkopo kwa wanafunzi wa mwaka wa masomo 2024/2025 huku waombaji wametakiwa kusoma mwongozo kabla ya kuomba. Akizungumza na…

Doyo atangaza kugombea nafasi ya uenyekiti ADC

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Chama Cha Alliance for Democrac Change (ADC) Taifa, Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa baada ya Mwenyekiti wa sasa Hamad Rashid Mohamed kumaliza muda wake…

Kikosi kazi kuundwa kudhibiti utorishaji madini Songwe

Na Mwanahamisi Msangi, Songwe TUME ya Madini Mkoa wa Songwe imeunda kikosi kazi maalum cha kupambana na kudhibiti utoroshaji wa madini na kusababisha serikali kukosa mapato. Hayo yamesemwa na Afisa Madini Mkazi – Songwe, Chone Malembo wakati akizungumza na waandishi…