JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Hatimaye Try Again akubali kujiuzulu Simba

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Baada ya vuguvugu kupamba moto kwenye mitandao ya kijamii, hatimaye mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Simba sc, Salim Abdallah ‘Try Again’ ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ndani ya klabu hiyo. “Sisi kama…

Taasisi ya Mama Ongea na mwanao yaweka tabasamu kwa watoto wenye mahitaji maalumu

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam TAASISI ya Mama Ongea na Mwanao kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wametoa Baskeli za 250 kwa watoto wenye mahitaji maalumu (Walemavu) 250 ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao za kupata elimu . Akizungumza na Waandishi…

UVCCM waiomba Serikali kuufungia mtandao wa Twitter

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumuiya ya Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeiomba Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuufungia mtandao wa Twitter (X) kutokana na maudhui yake kutokuendana na mila na…

Breaking News: Makamu wa Rais wa Malawi afariki Dunia

Na Isri Mohamed Mwili wa Makamu wa Rais wa Malawi, Saulos Chilima na watu wengine tisa imepatikana baada ya vikosi vilivyokuwa vikiitafuta ndege iliyowabeba kufanikiwa kupata ndege hiyo huku wakiwa wamefariki. Baada ya kuthibitishwa kwa taarifa hiyo, Rais wa Malawi,…