JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Mchungaji Mastai : Vijana kuweni waangalifu na mitandao ya kijamii

Na Magrethy Katengu,Jaa8huriMedia Dar es Salaam NAIBU Katibu Mkuu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Mchungaji Wilbroad Mastai, amewashauri vijana kuwa waangalifu na mitandao ya kijamii kwa kuwa uharibifu mkubwa wa kidunia umeelekezwa huko…

Bajeti ya 2024 yagusa Watumishi Umma, Wastaafu

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, imesikia kilio watumishi wa umma na wastaafu kuhusu kikokotoo na imekifanyia kazi kwa maslahi…

Tanzania kuendelea kushirikiana na Umoja wa Posta Duniani

Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Arusha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeahidi kuendelea kushirikiana na Umoja wa Posta Duniani (UPU) na Mashirika mengine ya kimataifa kukuza na kuendeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) na ustawi wa jamii yote ulimwenguni….

Waziri Ummy ameonya juu ya matumizi holela ya dawa

Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameitaka jamii ya watanzania kutumia dawa kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ili kuondokana na changamoto ya usugu wa vimelea vya dawa mwilini (UVIDA) Waziri Ummy ametoa wito huo Juni 12,2024…

GP Wambura akabidhiwa uenyekiti wa SARPCCO

 Matukio mbalimbali pichani yakimuonesha Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Camillus Wambura akikabidhiwa uenyekiti wa Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi kutoka nchi za  Kusini mwa Afrika (SARPCCO) kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Zambia IGP Graphel…

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu mbaroni tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa chuo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mwanza Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Esmail Nawanda (46) kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha jiji Mwanza. Ambapo tukio hilo lilitokea mnamo Juni 02,2024 majira…