JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Ndoto za hayati Magufuli zitimizwe kwa wakati

Na Daniel Limbe, JakmhuriMedia, Chato “SAFARI ya Maendeleo siyo lelemama” msemo huu ulitumiwa sana na aliyekuwa rais wa Tanzania,Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kwa lengo la kuihamasisha jamii katika kuyapambania matamanio ya ndoto zao za maendeleo kwa manufaa ya sasa…

Rais Samia asisitiza watoto kupata malezi bora yenye maadili mema

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika akiwa pamoja na wajukuu, Ikulu jijini Dar es Salaam. Siku hii huadhimishwa Juni 16 ya kila mwaka. Katika kuadhimisha siku hii, Rais Samia amesisitiza…

Wizara yaitaka NIRC kusimamia maono ya Rais Dk Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Dkt. Hussein Mohamed Omar, amesema matarajio ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuona sekta ya kilimo inaleta mageuzi ya kiuchumi nchini. Amesema kutokana na hatua hiyo…

Wafugaji nchini watakiwa kufuga kisasa kuleta maendeleo

๐Ÿ“Œ Dkt. Biteko aagiza Wizara ya Mifugo kuendelea kutoa elimu ufugaji wa kisas ๐Ÿ“Œ Wafugaji na wakulima waaswa kuondokana na migogoro ๐Ÿ“Œ Wafugaji watakiwa kutumia Maafisa Ugani kwa ufugaji wa tija Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

Ufafanuzi kuhusu gawio la bilioni 153.9 lililotolewa na TPA kwa Serikali

Katika mitandao ya kijamii na makundi sogozi, zinasambaa taarifa potofu kuhusu uhalisia wa Gawio la Shilingi Bilioni 153.9 lililotolewa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa Serikali kwa mujibu wa Sheria kwa mwaka 2024. Kufuatia taarifa hizo potofu,…