JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

Waombolezaji wafariki katika msafara wa mazishi wa Makamu wa Rais wa Malawi

Watu wanne, akiwemo mwanamke mjamzito, wamepoteza maisha baada ya gari lililokuwa kwenye msafara uliokuwa umebeba mwili wa marehemu Makamu wa Rais wa Malawi Saulos Chilima kuwagonga waombolezaji, polisi walisema. Watu wengine kumi na wawili walijeruhiwa katika tukio hilo la Jumapili…

Papa Francis azitaka mamlaka kukomesha mauaji mashariki mwa Congo

Baada ya sala ya Jumapili katika Kanisa Katoliki Jumapili, Papa Francis ametoa wito tena wa ulinzi wa raia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya mashambulizi ambayo yameua mamia katika wiki za hivi karibuni. “Habari za kusikitisha za…

Netanyahu alivunja Baraza lake la Vita

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelivunja Baraza lake la Vita ambalo husimamia operesheni za kijeshi huko Gaza. Mapigano yanaendelea pia kuripotiwa katika ardhi ya Palestina huku idadi ya vifo pia ikiongezeka. Taarifa ya kuvunjwa kwa baraza hilo la vita…

Mathias Canal aunga mkono juhudi za mbunge Bashungwa, achangia mil.1/- kuboresha sekta ya elimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Kufuatia juhudi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe Innocent Bashungwa katika kuimarisha sekta ya elimu ikiwemo ujenzi wa shule mpya ya msingi ya Kigasha, mwandishi wa habari Mathias Canal amechangia Shilingi Milioni 1…

Akiba benki yatoa elimu ya fedha kwa wadau mbalimbali

Na Magrethy Katengu, Jamuhuri Media Dar es Salaam Benki ya Akiba imesema itaendelea kuunga mkono serikali kwa kutoa elimu ya fedha huku ikiboresha huduma zake nchi nzima ili kusaidia kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuchochea kukua kwa uchumi wa Taifa….

Majaliwa: Watanzania tuendelee kudumisha amani, upendo na mshikamano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa  Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoashiria vurugu, uonevu na uvunjifu wa amani. Pia amewasihi waimarishe malezi kuanzia ngazi ya familia ili kuepuka athari za mmomonyoko…