JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2024

DC Magoti atembelea mradi wa uwekezaji wa Visegese Kisarawe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amefanya kikao kazi na wataalam wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyi pamoja na Kamati ya Usalama Wilaya kwa ajili ya kujadili maendeleo ya Mradi wa…

Doyo arejesha fomu ya kugombea uenyekiti wa Chama cha ADC kwa kishindo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Uchaguzi ya Chama Cha Alliance For Democract Change (ADC) imepokea fomu za wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Taifa na Makamu wake ili kujiandaa na mchakato wa uchaguzi ambao unatarajia kufanyika Juni…

Dk Mpango : Watumishi wa umma wanapaswa kumuenzi marehemu Tixon Nzunda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema watumishi wa Umma wanapaswa kumuenzi aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro marehemu Tixon Nzunda kwa kuwa waadilifu, wazalendo na kumtanguliza…

THRDC, LHRC yalaani mauaji ya mtoto Asimwe

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) pamoja na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamelitaka Jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina juu ya tukio la utekwaji na…